RUMAFRICA Magazine

RUMAFRICA FASHION

RUMAFRICA FASHION

29.10.2017: VIDEO: MAOMBI MAALUM YA KUWAOMBEA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE KWAAJILI YA MITIHANI YAO YA MWISHO


Maombi ya kuwaombewa wanafunzi wa kidato cha nne Tanzania yaliongozwa na Mhe. Bishop Dr. Gertrude Rwakatare katika ibada ya Kutengua manuizo na laana katika maisha yetu iliyofanyika siku ya Jumapili 29.10.2017 katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B"

Comments